Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 13, 2014

VILABU SABA VYA GOFU KUKUTANA TANZANIA OPEN K-VANT GIN GOLF CO-OPERATE TOURNAMENT 2014



Meneja Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 3.5kwa Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin  ikiwa ni sehemu ya udhamini katika Mashindano ya Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014.   .


Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin akimuonesha uwanja utakaotumika kwa mashindano hayo Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd kanda ya kaskazini ,Edmund Rutaraka. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Christopher Martin  maarufu kama "Mbe"akizungumzia Mashindano ya mchezo wa Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014 yatakayofanyika Agosti 16 na 17 mwaka huu.
Meneja Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha Edmund Rutaraka akizungumzia udhamini wao katika Mashindano ya Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014   .
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Christopher Martin  maarufu kama "Mbe"akihakiki hundi kabla ya kukabidhiwa rasmi.
Meneja Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 3.5kwa Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin  ikiwa ni sehemu ya udhamini katika Mashindano ya Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014.   .
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin  akikabidhi hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade kwa katibu wa klabu ya Gofu ya Moshi Mohamed Nkya.
Viongozi wa Kabu ya Gofo ya Moshi wakiwa katika picha ya pamoja na Staff wa kampuni ya Megatrade muda mfupi baada ya kukabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 3.5.
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin akimuonesha uwanja utakaotumika kwa mashindano hayo Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd kanda ya kaskazini ,Edmund Rutaraka. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

No comments :

Post a Comment