Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 9, 2014

TAMASHA LA MATUMAINI LAZINDULIWA NA DKT. BILAL, WABUNGE WA YANGA WAWAADHIBU WENZAO WA SIMBA



 Mshambuliaji wa timu ya Wabunge wa Yanga, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kushoto) akijiandaa kumfinya beki Wabunge wa Simba, Franky Tupa, wakati wa mtanange wao uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa taifa, ikiwa ni sehemu ya shambra shambra za Tamasha la matumaini, linaloendelea hivi sasa. Katika mchezo huo. Wabunge wa Yanga walishinda mabao 3-2. Picha Zote na www.sufianimato.com
Mwanamuziki wa bendi ya Mapacha 3, Khalid Chokoraa (wa tatu kushoto) akiwa na wapambe wake wakati akisubiri kupanda ulingoni kuzichapa na Said Memba, pambano linalotarajia kuanza muda wowote kuanzia hivi sasa. 
 Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Tamasha hilo.
 Waheshimiwa wakisimama kuimba wimbo wa Taifa......

No comments :

Post a Comment