Rais wa bendi ya Fm Academia Nyoshi Elsadat akiimba wakati wa utambulisho wa uzinduzi wa DVD ya Live, Utamu wa Vanila,jana inayotarajiwa kuzinduriwa Dar es salaam leo kushoto ni Ofisa uhusiano wa kampuni ya simu za mkonono ya Zaini Celin Njuju, ambao ni wadhamini.(Picha na Rajabu Mhamila)
BALOZI MATINYI AKABIDHI HATI KWA RAIS WA ALGERIA
-
Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mhe. Abdelmadjid
Tebboune, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, mara baada ya
kukabidhi...
1 day ago
No comments :
Post a Comment