Ofisa Biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Zain Bw.Chiruyi Walingo akipeana mkono na Ofisa Biashara wa Shirika la maji safi na maji taka(DAWASCO) Bw.Raymond Mndolwa Dar es Salaam jana baada ya uzinduzi wa ulipaji wa Ankara za maji kwa wateja wa Zain kupitia huduma ya Zap.(Picha na Rajabu Mhamila)
HII NDIO LAETOLI
-
Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ikiongozwa na
makamu Mwenyekiti Dkt. Harriet Mtae jana tarehe 11 julai, 2026 imekagua
ubores...
1 day ago
No comments :
Post a Comment