Ofisa Biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Zain Bw.Chiruyi Walingo akipeana mkono na Ofisa Biashara wa Shirika la maji safi na maji taka(DAWASCO) Bw.Raymond Mndolwa Dar es Salaam jana baada ya uzinduzi wa ulipaji wa Ankara za maji kwa wateja wa Zain kupitia huduma ya Zap.(Picha na Rajabu Mhamila)
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment