
Mazembe ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata goli lakini mchezaji Ammar Jemal aliipatia goli la kusawazisha kwa mabingwa wa michuano hiyo ya ligi ya mabingwa Afrika mwaka 2007 akiunganisha mpira wa adhabu uliyopipgwa na Sadat Bukari.
Mlinzi Aymen Abdennour alifunga goli la pili na kuihakikishia ushindi wa pointi tatu.
Etoile na Mazembe wanajumla ya pointi tatu hadi sasa pamoja na mabingwa wa Zimbabwe, kabu ya Monomotapa, ambao waliichapa klabu hiyo ya Tunisia katika mchezo wa kwanza.
No comments :
Post a Comment