Klabu ya Tunisia Etoile du Sahel imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya TP Mazembe ya Demokrasia ya Congo katika mchezo wa kundi B katika michuano ya ya ligi ya mabingwa barani Afrika.
Mazembe ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata goli lakini mchezaji Ammar Jemal aliipatia goli la kusawazisha kwa mabingwa wa michuano hiyo ya ligi ya mabingwa Afrika mwaka 2007 akiunganisha mpira wa adhabu uliyopipgwa na Sadat Bukari.
Mlinzi Aymen Abdennour alifunga goli la pili na kuihakikishia ushindi wa pointi tatu.
Etoile na Mazembe wanajumla ya pointi tatu hadi sasa pamoja na mabingwa wa Zimbabwe, kabu ya Monomotapa, ambao waliichapa klabu hiyo ya Tunisia katika mchezo wa kwanza.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment