Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya mikono wakiwa na bendera yao baada ya kukabidhiwa Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la michezo Tanzania Mohamed Kiganja kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya Chalenge kwa vijana wa chini ya miaka 20 Bujumbura Burundi.(Picha na Rajabu Mhamila)
BALOZI MATINYI
-
Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Mabalozi wa nchi
wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) waliopo Algeria,
Balozi ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment