Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya mikono wakiwa na bendera yao baada ya kukabidhiwa Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la michezo Tanzania Mohamed Kiganja kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya Chalenge kwa vijana wa chini ya miaka 20 Bujumbura Burundi.(Picha na Rajabu Mhamila)
MVUA KUBWA KUTARAJIWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI NDANI YA SAA 24 ZIJAZO
-
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari ya uwezekano wa vipindi vifupi vya
mvua kubwa katika saa 24 zijazo, hususan katika baadhi ya maeneo ya mikoa
ya ...
3 days ago
No comments :
Post a Comment