Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya mikono wakiwa na bendera yao baada ya kukabidhiwa Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la michezo Tanzania Mohamed Kiganja kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya Chalenge kwa vijana wa chini ya miaka 20 Bujumbura Burundi.(Picha na Rajabu Mhamila)
UWEPO NA MWENENDO WA KIMBUNGA “CHENGE” KATIKA ENEO LA KUSINI MAGHARIBI MWA
BAHARI YA HINDI.
-
Dar es Salaam, 22 Oktoba, 2025:
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo
wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi,...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment