Mchezaji dani Mrwanda wa wekundu wa Msimbazi wakati wa safari ya klabu hiyo kuelekea Songea tayari kukipiga na Maji Maji katika mchezo wa kwanza wa ligi Kuu Tanzania Bara ambayo itaanza rasmi Agosti 23 ametajwa kuzichapa na makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo Omari Gumbo.
Imebainishwa chanzo cha kuzuka ugomvi huo ni kufuatia mchezaji huyo kukaidi agizo la kuvaa jezi ya Simba, kama walivyofanya wachezaji wenzake ikiwa ni sare maalum ya klabu hiyo wakati wa safari.
Simba siku ya Jumapiliitakipiga na Maji maji ya Songea katika uwanja wa Maji maji mjini Songea.
No comments :
Post a Comment