Meneja wa timu ya Simba Innocent Njovu amesema wamefikia maamuzi hayo ya kuweka kambi mkoani Iringa ili kuwapa maandalizi mazuri wachezaji wake ili kuhakikisha wanaendelea kushinda.
Kuhusu Mchezaji Uhuru Suleimani ambaye ajana wametangaza rasmi kukamilisha taratibu za kumsajili, Njovu amesema kocha anamuangalia katika mazoezi.
No comments :
Post a Comment