Mchezaji wa Pool table wa Mkoa wa Tanga, Zainabu philipo, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya taifa ya mchezo huo kwa wanawake katika hatua ya kuingia nusu fainal yanayodhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Mbeya jana ...(Picha na Rajabu Mhamila)
UWEPO NA MWENENDO WA KIMBUNGA “CHENGE” KATIKA ENEO LA KUSINI MAGHARIBI MWA
BAHARI YA HINDI.
-
Dar es Salaam, 22 Oktoba, 2025:
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo
wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi,...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment