Mchezaji wa Pool table wa Mkoa wa Tanga, Zainabu philipo, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya taifa ya mchezo huo kwa wanawake katika hatua ya kuingia nusu fainal yanayodhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Mbeya jana ...(Picha na Rajabu Mhamila)
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment