Lukas Antony Kisasa ni katibu mkuu wa klabu ya Yanga amesema wanachosubiri ni ripoti toka kwa kocha mkuu wa klabu hiyo Prof. Dusan Condic.
Amesema wachezaji ni watovu wa nidhamu, amesema inashangaza kuona wachezaji wa nyumbani wakiwa kambini huku wachezaji wakikataa kuungana na wenzao kwa madai Jengo la Yanga hallina hadhi ya kukaa mchezaji wa kulipwa huku nao wakiwa ni wachezaji wa Yanga.
Kisasa amesema hatua hiyo ya wachezaji wa kigeni ni sawa na kuwadharau wa Tanzania wengi ambao ni wapenda soka, na kuahidi kuwachukulia adhabu kali itakayokuwa mfano kwa wachezaji wote wa kigeni waliyopo hapa nchini.
No comments :
Post a Comment