Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys Jumatatu 31, Agosti 2009 watacheza na timu ya taifa ya vijana ya Sudan kuwania nafasi ya tatu ya michuano ya Chalenji.
Serengeti Boys imefikia hatua hiyo baada ya kufungwa katika mchezo wa nusu fainali na Uganda siku ya Ijumaa kwa kufungwa jumla ya magoli 5-3 kwa mikwaju ya Penati baada ya kumaliza dakika 120 huku wakiwa wamefungana 1-1.
FROM NAINOKANOKA TO MSOMERA : A NEW CHAPTER OF HOPE
-
For the Saitoti family, the relocation from Nainokanoka ward in Ngorongoro
conservation area to Msomera Handeni Tanga represented far more than a
geog...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment