Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
FROM NAINOKANOKA TO MSOMERA : A NEW CHAPTER OF HOPE
-
For the Saitoti family, the relocation from Nainokanoka ward in Ngorongoro
conservation area to Msomera Handeni Tanga represented far more than a
geog...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment