Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
BALOZI MATINYI
-
Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Mabalozi wa nchi
wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) waliopo Algeria,
Balozi ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment