Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
MWAKILISHI JAB ASHIRIKI KIKAO KAZI ,UKOKOTOAJI MCHANGO SEKTA YA SANAA
-
Mwakilishi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Mawazo
Kibamba, akishiriki pamoja na wadau wengine katika kikao kazi cha wataalamu
wa Ufua...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment