ILALA oyeeeeeeeee....!!!! ndiyvyo wanavyoonekana katika picha wakishangilia baada ya kufanikiwa kutinga fainali.
Wachezaji wa Pool table wa Mkoa wa Ilala wakishangilia baada ya timu yao kutinga fainali ya mashindano hayo jijini Mbeya yanayo dhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager ambapo walikuwa wanatarajia kuchuana na timu ya mkoa wa Temeke katika fainali.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments :
Post a Comment