Mwanamichezo Ibrahimu Raza kushoto akikabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi laki mbili na nusu kwa mkuu wa upelelezi wmkoa wa Ilala, Duwani Nyanda kw ajili ya kushiriki mashindano ya kombe la kamanda Kova yanayotarajiwa kuanza Jumamosi hii jijini Dar es Salaam. katikati ni katibu wa ytimu ya mpira wa miguu ya Polisi kati Paul Mwanikungu.
NA RAJABU MHAMILA
No comments :
Post a Comment