Mdahalo huo uliongozwa na Denis Busulwa Sebo kila upande ulipata nafasi ya kuchangia mada pamoja na kuuliza maswali na kujibu.
Pamoja na kuzungumzia ngono zembe, lakini mada kuu ilikuwa je nguo fupip zinachangia ngono zembe? wahariri na waandishi waliunga mkono huku warembo wakipinga.
katika mdahalo huo uliyotumia saa moja ulishuhudia wahariri wakiwabwaga kwa hoja lakini walipata upinzani mkubwa kutokana na kujieleza kwao vizuri.
wakati huo huo warembo wawili wataopata ajira katika hoteli ya Giraffe mara baada ya kumalizika kwa shindano hilo.
No comments :
Post a Comment