Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
Tuesday, July 21, 2009
SIKU YANGA WALIPOFULIA KWA AFRICAN LYON FC
Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment