
Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Methodius Kilaini,akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia Tv Tumaini, ili kuiwezesha kurusha matangazo yake kwa njia ya satalaiti,iliyofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki kushoto ni mjumbe wa kamati ya uendeshaji wa Televisheni hiyo Bw.Joseph Temu.(Picha na Rajabu Mhamila)
Akizindua Harambee hiyo mwenyekiti wa bodi ya TTV Padri Paulo Makundi amewataka wananchi kuchangia Televisheni hiyo kwa kutuma ujumbe wa maandishi wenye neno Tumaini kwenda 15543.
Amesema Gharama za ujumbe huo utakuwa ni shilingi 500, amesema zinahitajika milioni 400 kukamilisha kujiunga kwenye mtandao wa Setilaiti.
No comments :
Post a Comment