Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 20, 2009

TWANGA PEPETA KURUDISHWA LEADERS KATIKA BONANZA

Bendi ya muziki nchini Tanzania Twanga Pepeta International jumapili inatarajia kurudi katika viwanja vya Leaders club kwa mara ya kwanza baada ya kusimamishwa kwa muda usiyojulikana.

Hatua hiyo imekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Iddi Azan kuhoji Bungeni kwanini viwanja hivyo vilisimamishwa ghafla kutumika katika michezo na burudani.

Waziri wa nchi utumishi wa umma Hawa Ghasia amejibu kwamba viwanja hivyo vitaendelea na Bonanza hadi hapo watakapoamua kufanyia ukarabati.

Aidha mmiliki ya Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka pamoja na Mkurugenzi wa bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Gurumo ambao wamekuwa wakitoa burudani katika viwanja hivyo vya Leaders wamemshukuru Mh Hawa Ghasia kwa kuwaruhusu kuendelea.

Na Rajabu Mhamila (Super D)

No comments :

Post a Comment