Bendi ya muziki nchini Tanzania Twanga Pepeta International jumapili inatarajia kurudi katika viwanja vya Leaders club kwa mara ya kwanza baada ya kusimamishwa kwa muda usiyojulikana.
Hatua hiyo imekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Iddi Azan kuhoji Bungeni kwanini viwanja hivyo vilisimamishwa ghafla kutumika katika michezo na burudani.
Waziri wa nchi utumishi wa umma Hawa Ghasia amejibu kwamba viwanja hivyo vitaendelea na Bonanza hadi hapo watakapoamua kufanyia ukarabati.
Aidha mmiliki ya Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka pamoja na Mkurugenzi wa bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Gurumo ambao wamekuwa wakitoa burudani katika viwanja hivyo vya Leaders wamemshukuru Mh Hawa Ghasia kwa kuwaruhusu kuendelea.
Na Rajabu Mhamila (Super D)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment