Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 15, 2011

MAKAMU WA RAIS AWASHA MWENGE WA UHURU NA BUTIAMA SIKU MAALUM YA KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Mwenge wa Uhuru kiongozi wa mbio za mwenge huo mwaka 2011- 2012 Mtumwa Rashid Halfan, kutoka mkoa wa Kaskazini Unguja, kwa ajili ya kuanza mbio za kukimbiza katika mikoa yote ya Tanzania baada ya kuuwasha rasmi leo katika kijiji cha Butiama Mkoani Mara.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka shada la mauwa kwenye Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalim Julius Nyerere baada ya misa maalum ya kumkumbuka muasisi huyo wa Taifa la Tanzania iliyofanyika leo kijijini kwake Mwitongo Butiama.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua kanuni za sheria ya Filamu na Michezo ya kuigiza iliyoambatana na maadhimisho ya miaka 50 Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mara. Kushoto ni, Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Dkt Emanuel Nchimbi
Muandishi wa Habari wa Idara ya Habari Maelezo, Anna Itenda, akiweka shada la mauwa katika kaburi la Baba wa Taifa Hayati Mwalim Julius Nyerere kwa niaba ya waandishi wa habari wa Tanzania wakati wa misa maalum ya kumkumbuka muasisi wa Taifa la Tanzania iliyofanyika jleo kijijini kwake Mwintongo Butiama.

No comments :

Post a Comment