Rais Jakaya Kikwete akiagana na viongozi wa ngazi za juu wa CCM baada ya mazishi ya Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Uhuru FM Juma Penza, jana katika makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati.
BALOZI MATINYI AKABIDHI HATI KWA RAIS WA ALGERIA
-
Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mhe. Abdelmadjid
Tebboune, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, mara baada ya
kukabidhi...
2 days ago


No comments :
Post a Comment