Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 11, 2011

WAFANYABIASHARA WAJITOKEZA KUCHANGIA ULINZI DAR ES SALAAM





Mkurugenzi wa Mashujaa Group Sakina Mbange 'Mamaa Sakina' akizungumza na wana habari
Waziri wa mambo ya ndani, Shamsi Vuai Naodha akisalimiana na baadhi ya wanakamati walioteuliwa kwa ajili ya ulinzi wa jiji la Dar es salaam



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Naodha (kushoto) akipokea pesa taslim milioni mbili kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mashujaa Group, Bi. Sakina Mbange 'mama Sakina' katika wa kuchangia kazi za ulinzi na usalama katika kanda maalum ya polisi Dar es salaam jana










Baadhi ya wafanyabiashara waliojitokeza kuchangia ulinzi











mama sakina akitoa mkwanja

No comments :

Post a Comment