Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
GUTERRES: TANZANIA NI ‘MFANO WA AMANI DUNIANI ’
-
"Tanzania inaendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano wa kijamii barani
Afrika na duniani kote."
Hayo ni maneno ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe...
2 hours ago

No comments :
Post a Comment