Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
BALOZI MATINYI AKABIDHI HATI KWA RAIS WA ALGERIA
-
Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mhe. Abdelmadjid
Tebboune, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, mara baada ya
kukabidhi...
2 days ago

No comments :
Post a Comment