Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 11, 2011

Mambo ya Twanga Festival mwanangu



Mnenguaji wa bendi ya The African Stars 'Twanga Pepeta' Lilian Internet, (kushoto), akiwaeleza waandishi jinsi walivyojiandaa na Twanga Festival Novemba 6, mwaka huu pale Maisha Club, usikose mtu wangu. Katikati Mkurugenzi wa African Stars Band, Asha Baraka na kiongozi wa bendi hiyo, Luiza Mbutu. Foto: Victor Mkumbo.

Kiongozi wa The African Stars 'Twanga Pepeta', Luiza Mbutu, (kulia), Mkurugenzi wake, Asha Baraka na Lilian Tungaraza 'Lilian Internet.
Vionjo vya wanenguaji wa Twanga Pepeta, zaidi utakuwa ukivipata pale Mango Garden Kinondoni kila Jumamosi na Jumapili kule Leaders Club, Kinondoni, kabla ya tamasha la Twanga Festival Novemba 6, mwaka huu katika mjengo wa Maisha Clu

No comments :

Post a Comment