Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 7, 2011

MBWANA MATUMLA AJIFUA KUMKABILI FRANSIC MIYAYUSHO


Kocha Mkongwe wa mchezo wa ngumi, Habibu Kinyogoli (kushoto) akiwaamulu mabondia, Mbwana Matumla wa pili kushoto na Mussa Sunga kupigana wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala kulia ni kocha wa viungo, Mohamedi Chipota Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa na Fransic Miyayusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Mabondia Mbwana Matumla (kushoto) na Mussa Sunga wakipigana wakati wa mazoezi ya kambi ya ILala Dar es salaam jana kulia ni kocha MOhamedi Chipota, Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa na Fransic Miyayusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments :

Post a Comment