Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
WAANDISHI 3,357 WAPATA ITHIBATI KUPITIA MFUMO WA TAI HABARI
-
Serikali imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya
habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na kupatiwa
ithibati nda...
1 day ago
No comments :
Post a Comment