Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
GUTERRES: TANZANIA NI ‘MFANO WA AMANI DUNIANI ’
-
"Tanzania inaendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano wa kijamii barani
Afrika na duniani kote."
Hayo ni maneno ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment