Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment