Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
ISIMANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMCHAGUA MRITHI WA LUKUVI
-
*Wananchi wa Kijiji cha Mkungugu jimbo la Ismani katika Halmashauri ya
Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika foleni ya kupiga kura ya
kumchagua Mbu...
1 day ago
No comments :
Post a Comment