Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 5, 2011

Prof. Tibaijuka alia na wajenzi holela



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumzahii leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Makazi Duniani. Miongoni mwa mambo aliyo yakemea ni watu kujenga katika maeneo ya wazi, hifadhi ya barabara pamoja na walewanao ziba barabara na kuzuia wakazi wengine kufika makwao. Prof. Tibaijuka ametoa wito kwa watanzania wote kuchukua tahadhari hizo mapema kabla ya watendaje wake wa Wizara kufika katika maeneo hayo.
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakimsikiliza Prof Tibaijuka akifungua maadhimisho hayo yaliyoambatana na semina.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Godluck Ole Medeye akiangalia maonesho ya siku ya makazi Duniani.
OfisaMipango Miji wa Wizara, Bwana Mogella akielezea ramani ya Mji mpya wa Kigamboni.

No comments :

Post a Comment