Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 1, 2012

MAHAFALI YA KAMALDIN MBUGUNI




 Kamaldin Suleima Mbuguni akiwa na baba yake Mbuguni na mama yake Ananora katika sherehe ya mahafali ya darasa la saba mwishoni mwa wiki Blog Hii inampongeza na kumtakia safari njema katika maandalizi ya elimu ya Sekondari.
                                  amaldin Mbuguni akiwa na baba yake Suleiman Mbuguni.
 
 Kamaldin akilishwa keki na binti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega ambaye  wamemaliza pamoja katika Shule ya Msingi Shree Hindu Mandal.
Wazazi wa mtoto Kamaldin (Katikati) kulia ni Baba yake Suleimana Mbughuni na kushoto ni mama yake
KAMALDIN MBUGUNI akiwa na cheti chake cha kuitimu
Mahafali ya Shule ya Msingi Hindu Mandal Kijitonyama, Kulia ni mtoto Kamaldin Suleiman Mbughuni

Hizi ndizo keki za Graduation ya Hindu Mandal

No comments :

Post a Comment