Afisa Elimu Mwandamizi wa wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Nyambega Salum (kulia) akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa shule ya Sekondary ya Mkonjowano, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondar
NYUMBU NA MSEMO WA "TAHADHARI NA ADUI KIUMBE
-
Msanii kutoka Zanzibar Bi Fatma Issa aliimba tahadhari na adui kiumbe,
daima asikusibu na Mungu akuepushie.
Nyumbu wakiwa wanazaliwa katika eneo la Nd...
1 day ago
No comments :
Post a Comment