Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 2, 2011

Books handover to four secondary schools in Mtwara region


Baadhi ya waalimu wa shule ya sekondari ya Mkonjowano, wakitazama kwa furaha, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondari Mkonjowano, Naputa, Mkundi na Nachunyu, ambazo kila moja imepokea vitabu vyenye thamani ya shilingi milioni moja. Makabidhiano ya msaada huu yalifanyika wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara jana.

Afisa Elimu Mwandamizi wa wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Nyambega Salum (kulia) akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa shule ya Sekondary ya Mkonjowano, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondar

No comments :

Post a Comment