Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 2, 2011

MO Ayapinga 'Jeki' Mashindano Ya Riadha Afrika Mashariki Na Kati



|
Afisa Uhusiano wa Kampuni ya MeTL ambaye pia ni msaidizi wa Mh. Mohammed Dewji (Mb) Esther Dotto akikabidhi mchango katoni 42 za maji safi ya kunywa ‘ MAISHA’ yanayotengenezwa na Kampuni ya A-ONE Products and Bottlers ambayo ni moja ya makampuni ya MeTL kwa Mkurugenzi wa Radio One Deogratius Rweyunga kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya riadha ya Afrika Mashariki na Kati yatakayofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 3-4 June, 2011.

Katoni za maji safi ya kunywa aina ya MAISHA yanayotengenezwa na moja ya kampuni ya MeTL yaliyokabidhiwa kama mchango kwa ajili ya mashindano hayo.(Fullshangweblog)

No comments :

Post a Comment