Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 10, 2011

KINARA WA JAZZ MASEKELA ATUA DAR

Mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa Jazz kutoka Afrika Kusini, Hugh Masekela (kulia) akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu jinsi alivyojiandaa kwa onesho litakalofanyika kesho kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam. Kushoto ni Sauda Kilumanga ambaye naye atafanya shoo ya utangulizi. Onesho hilo limedhaminiwa na Benki ya Stanbic.
Sauda Kilumanga akizungumza





Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano akizelezea kuhusu shoo hiyo


No comments :

Post a Comment