Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 16, 2011

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Mabalozi


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed shein,akiagana na Balozi wa Uganda nchini Tanzania Ibrahim Mukiibi,baada ya mazungumzo yao Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed shein,akizungumza na Balozi wa Uganda nchini Tanzania Ibrahim Mukiibi,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo kuonana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed shein,akiagana na Balozi Mdogo wa Misri nchini Tanzania anayeishi Zanzibar,Walid Mohamed Ismail,IKulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed shein,akizungumza na Balozi mdogo wa Misri nchini Tanzania anayeishi Zanzibar,Walid Mohamed Ismail,IKulu Mjini Zanzibar leo

No comments :

Post a Comment