Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mahojiano na mtangazaji wa Redio ya Umoja wa Mataifa (UN), Flora Nducha, muda mfupi baada ya kuhudhuria mkutano wa majadiliano kuhusu masuala ya ukimwi ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa unaofanyika jijini New York, Juni 10, 2011, jijini New York. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
BONDIA MLUNDWA NA MBISE WAMLILIA MSOMBA
-
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa
wingi katika mazishi ya aliyekua bondia mkongwe Lucas Msomba.
Akizungumza ka...
1 day ago



No comments :
Post a Comment