Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 16, 2011

SHINDANO LA VODACOM DAR INTER COLLEGE KUFANYIKA LEO

Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani Juni 17 wiki hii, kuwania Taji la Vodacom Miss Dar Inter College, wakiwa katika mazoezi yao ya pamoja kwa ajili ya kujiandaa na shindano hili litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Sunciro ar es Salaam. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye kambi ya warembo hao, jijini Dar es Salaam leo, mratibu wa shindano hilo, Angela Msangi, amesema kuwa katika kunogesha fainali ya shindano hilo wamemwalika msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo flava’, Dully Skyes ambaye atatoa burudani sambamba na wasanii wengine walioalkwa.


Baadhi ya warembo hao wakipozi kwa picha wakati wa mazoezi yao kwenye Ukumbi wa Sunciro.
Warembo wanatarajia kushiriki shindano hilo wakipozi kwa picha wakati wa mazoezi yao.
Warembo hao wakiwa katika mazoezi ya shoo yao ya ufunguzi.

No comments :

Post a Comment