Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 7, 2011

MISS TABORA 2011 HUYU HAPA



Miss Tabora 2011 Florah Michael ni mwanafunzi wa SAUT tawi la Tabora mwaka wa kwanza2. Maua Kimambo ni mwanafunzi wa Mussoma utalli college Tabora mwaka wa kwanza3.Dalilah Gharib ni mwanafunzi UHAZILI Tabora mwaka wa pilizawadi kwa mshindi wa kwanza ilikuwa Dell Laptop ya sh kaki 7 na elimu yenye thamani ya laki tatu Musoma Utalii college. jumla 1mzawadi kwa mshindi wa pili Dell computer ya sh laki sita na elimu ya laki mbili Musoma utalii college Tabora.Zawadi kwa mshindi wa tatu Subwoofer na dvd player vya laki 250. Na elimu ya sh laki moja Musoma utalii college.washindi watatu hao watuwakilisha mkoa wa Tabora katika shindano la kanda mnamo tarehe 24/06/2011 mjini Dodoma ambalo litajumuisha mikoa ya Dodoma, Kigoma, Singida na Tabora, washindi watatu wa kanda ndio wataenda Miss Tanzania.Miss Tabora ilifanyika New Royal garden mnamo tarehe 27/05/2011 burudani iliporomoshwa na Amin, steve rnb, Hmbizo, Nash D, na Bekah.
Kutoka kulia ni Dalilah Gharib second runner up katikati Miss Tabora 2011/12 Florah Michael na Maua Kimambo first runner up.

No comments :

Post a Comment