Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 10, 2011

WADAU WA KILIMO WAKUTANA KUJADILI MWENDELEZO WA KILIMO KWANZA




Baadhi ya wadau wa kilimo kutoka mikoa mbalimbali nchini wakifatili mada wakati wa mkutano ulioandaliwa na Tanzania Agriculture Partnership (TAP) Dar es Salaam LEO kutoka kushoto ni Bw.Emile Malinza na Bw. George Mtenda na mmoja ya wadau wa kilimo




Baadhi ya wadau wa kilimo kutoka mikoa mbalimbali nchini wakifatili mada wakati wa mkutano ulioandaliwa na Tanzania Agriculture Partnership (TAP) Dar es Salaam LEO kutoka kushoto ni Bw. Graham Anderson,Bw.Emile Malinza na Bw. George Mtenda



WADAU WAKIFATILIA MKUTANO



MKUTANO UNAENDELEA

No comments :

Post a Comment