Kocha Kondo Nassoro akimuonesha jinsi ya kupiga ngumi Zainabu Mhamila (Ikota Super D) uku nyuma akisimamiwa na Kocha Mkongwe Habibi Kinyogoli wakati wa mazoezi yaliyofanyia katika kambi ya Ilala mchezo wa ngumi umekuwa ukionekana kuwa ni uwadui wakati ni miongoni mwa michezo inayopendwa na kutamba Duniani
YANGA YAANZA VIZURI MASHINDANO YA CAF.
-
Kwa mara ya kwanza YANGA imefuta uteja wa kushindwa kupata matokeo mechi
za kwanza za makundi katika michuano ya kimataifa.
Ushindi wa goli moja ulitos...
1 day ago
No comments :
Post a Comment