Kocha Kondo Nassoro akimuonesha jinsi ya kupiga ngumi Zainabu Mhamila (Ikota Super D) uku nyuma akisimamiwa na Kocha Mkongwe Habibi Kinyogoli wakati wa mazoezi yaliyofanyia katika kambi ya Ilala mchezo wa ngumi umekuwa ukionekana kuwa ni uwadui wakati ni miongoni mwa michezo inayopendwa na kutamba Duniani
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
4 days ago
No comments :
Post a Comment