Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 16, 2011

SIKU YA MTOTO WA AFRICA



Wanafunzi wakifuatilia sherehe hizo...
Ilifika wakati wa kucheza na kufurahi...watoto wa St. Kayumba walijimwaga kisawasawa na vibwebwe kiunoni wakicheza Alaji.
watoto kutoka "ST Mroki" wao mambo ya alaji yaliwapitia kushoto na Alaji wao iliwashinda wakasimama wima.
Hakika mtoto wa Afrika anahitaji sana Ulinzi, kupendwa, kupata huduma safi na bora, elimu, na kila hali ambayo itamfanya mtoto wa Afrika hasa Tanzania akue vyema katika malezi yaliyojaa maadili ili kuepusha kuwapo kwa watoto wa mtaani ambao chanzo chake ni malezi mabaya katika familia zetu.
TUPAMBANE NA ONGEZEKO LA WATOTO WANAOISHI MTAANI.

No comments :

Post a Comment