Mtoa mada katika mkutano wa kujadiri bajeti ya 2011,2012 Prof, Ibrahimu Lipumba (kushoto) akizungumza wakati wa mkutano huo Dar es Salaam leo kulia na Mkurugenzi Mtendaji wa Utafiti wa Uchimi Tanzania, Dkt, Bohelo Lunegelo na Makamu Mwenyekiti wa Kituo cha Demoklasia Dkt, James Mbatia
EXPERIENCE THE WONDERS INAANZIA GETI LA NGORONGORO KUELEKEA BUSTANI YA EDEN
-
Wadigo wana msemo usemao " _baraka hubarikiwa waliobarikiwa hata kama si
majaaliwa"_ Naam, ukisikia Ngorongoro ni eneo pekee unaloweza kuona Wanyama
w...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment