Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 7, 2011

*MATUKIO YA LEO MKOANI SONGEA



Vijana wanadikiwa kuwa ni vibaka katika mitaa ya Manispaa ya Songea wakishikana mashati baada ya mmoja wao kuwadhurumu wenzake mgao wa fedha, baada ya kufaulisha tukio lao la uporaji na kufanikiwa kuuza. Sasa kazi ikwa ni uwiano wa mgao ndiyo chanzo cha kuanza kwa sakata hili la kushikana mashati na kuchapana hadaharani, haikuweza kufahamiaka tukio hilo la uporaji walilitenda katika mtaa gani na kwa mhusika gani. Picha Zote na Muhidin Amri,Songea
Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akiandaa biashara ya ke ya utumbo kama alivyokutwa na mpiga picha Muhidin Amri, mjini Songea jana. Wafanyabiashara hawa wamekuwa na utaratibu wa kufanya biashara kama hii katika maeneo hata ambayo si maalum kwa ajili ya biashara.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Chistine Ishengoma, akiwa ofisini kwake wakati akifanya kikako na watendaji wa ofisi yake na waandishi wa habari hivi karibuni.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya mkoani Ruvuma wakiwa nje ya ukumbi wa Maliasili, wakati wakisubiri kikao cha Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais mazingira, Theresia Luoga, ambapo waandishi hao walisubiri kwa zaidi ya masaaa 4, katika ukumbi wa Maliasili mjini Songea jana.
http://sufianimafoto.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment