Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 29, 2014

EAST AFRICA MELODY KUWASHA MOTO MEI MOSI TRAVENTINE MAGOMENI MEI MOSI


Na Mwandishi wetu

BENDI ya taaarabu ya East African Melody  itatoa burudani katika ukumbi wa traventine Dar es salaam kwa ajili ya kusherekea siku kuu ya wafanyakazi Duniani Mei mosi

akizungumza onesho hilo muhandaaji wake Abbass Chezntemba 'Abbas  Chez' Cash Money' amethibitisha kufanyika onesho hilo ambali litakuwa la kihistoria jijini 

ambapo wasanii mbalimbali wamealikwa kushiriki kutoa burudani siku hiyoambayo imepewa jina la Usiku wa habiti za sauti za dhahabu ambapo watasindikizwa na ngwiji wa mziki wa dansi nchini

king kiki mzee sugu na kitambaa cheupe na Pr, Muhamed Issa  Matona,Rukia Ramadhani,Sabaha Muchacho, Hadija Yusuph ,Shakila Said, Ustadh Muhamed

na wasanii wengine wengi
kingilio kitakuwa ni  shilingi 7000 na 10,000 kwa watu watakaokaa V.I.P pia kutakuwa na zawadi kumi tofauti kwa ajili ya sikukuu hiyo itakayotolewa na Cash Money siku hiyo katika ukumbi wa traventine kwa watakaofika kuangalia onesho hilo

No comments :

Post a Comment