Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Steps
Solar Moses Mwanyilu 'kulia' akizungumza na waandishi wa habari awapo
pichani jinsi watakavyotoa huduma yao ya kuunganisha solar katika baadhi ya vituo vya watoto yatima,shule pamoja na taasisi za serikali katikati ni Katibu mtendaji wa Tanzania Renewable Energy Association 'TAREA' Mathew Matimbwi na Meneja mipango wa TAREA, Emma Laswai kwa kushirikiana na TAREA Picha na Mpigapicha wetu
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment