Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 30, 2014

STEPS SOLAR YAZINDULIWA KIGAMBONI


Mkurugenzi wa Steps Solar Dilesh Solanki kushoto pamoja na wasanii wa filamu ambao ni mabalozi wa Steps Solar ,Salma Jabu 'Nisha' na Amri Athumani 'Mzee Majuto' wakiomkabidhi zawadi ya solar kwa ajili ya kutumia nyumbani Mbunge wa jimbo la Kigamboni, DR, Faustine Ndugulile wakati wa tafrija ya uzindudhi wa bidhaa hizo zilizofanyika mji mwema kigamboni Dar es salaam Picha na www.burudan.blogspot.com
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Steps Solar Jairaj wa pili kulia akimuonesha Mbunge wa jimbo la Kigamboni, DR, Faustine Ndugulile wakati wa tafrija ya uzindudhi wa bidhaa hizo zilizofanyika mji mwema kigamboni Dar es salaam katikati ni
Mkurugenzi wa Steps Solar Dilesh Solanki 
Picha na www.burudan.blogspot.com
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Steps Solar Jairaj  kulia akimuonesha Mbunge wa jimbo la Kigamboni, DR, Faustine Ndugulile pasi jinsi ilivyopata moto wakati wa tafrija ya uzindudhi wa bidhaa hizo zilizofanyika mji mwema kigamboni Dar es salaam katikati ni
Mkurugenzi wa Steps Solar Dilesh Solanki  na Ofisa wa kampuni hiyo Moses Mwanyilu
Picha na www.burudan.blogspot.com
Ofisa wa kampuni ya Steps Solar Moses Mwanyilu akimwelekeza
Mbunge wa jimbo la Kigamboni, DR, Faustine Ndugulile wa pili kushoto jinsi wa umeme unavyopatikana kupitia mashine ndogo ya kuifadhia umeme wa jua kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Steps Solar Jairaj
katikati ni
Mkurugenzi wa Steps Solar Dilesh Solanki na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya temeke Sikunjema Shabani

Picha na www.burudan.blogspot.com

No comments :

Post a Comment