Tunaishukuru serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Baraza la sanaa la Taifa wamekuwa faraja kwetu kutusimamia na kuhakikisha shindano linaendeshwa kwa misingi ya haki na kufuata sheria na ksnuni za mashindano.
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment