Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 12, 2012

KING CLASS MAWE APEREKA SHANGWE KAMBI YA ILALA BAADA YA KUMTWANGA BONDIA WA TANGA




Bondia Said Mundi wa Tanga akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati walipokutana katika mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Class alishinda kwa point na kupeleka Shangwe katika Kambi ya Ilala Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akipambana na Said Mundi wa Tanga wakati wa mpambano wao uliofanyika hivi karibuni King Class alishinda kwa point na kupeleka Shangwe katika Kambi ya Ilala Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila Super D wa pili kushoto akiwa na furaha baada ya kumpandisha bondia  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' ulingoni na kumtwanga Said Mundi wa Tanga Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Masabiki wa ngumi wakiwa na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Kocha wake Rajabu Mhamila 'Super D
Bondia Said Mundi wa Tanga akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati walipokutana katika mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Class alishinda kwa point na kupeleka Shangwe katika Kambi ya Ilala Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mashabiki wakimpa Ongera Bondia Ibrahimu Class

Bondia King Class Mawe akiwa na wapambe wake baada ya kumdunda said Mundi wa Tanga

No comments :

Post a Comment