Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 13, 2012

SAFARI LAGER YATANGAZA KUTOA FOMU ZA MAOMBI YA USHIRIKI WA PROGRAMU YA “SAFARI LAGER WEZESHWA”



Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha moja ya fomu za ushiriki wa program hiyo.

Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza rasmi kutoa fomu za ushiriki wa msimu wa pili wa programu ya kuwawezesha wajasiriamali ifahamikayo kama “Safari Lager Wezeshwa”, iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya TAPBDS inayoratibu mchakato mzima wa Safari Wezeshwa,Joseph Migunda na kulia ni Mratibu wa Safari Wezeshwa,Laurance Andrew.
Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) tovuti ya  programu ya kuwawezesha wajasiriamali ya “Safari Lager Wezeshwa” ambayo itatumika pia kwa watu wanaotaka kujisajili kupitia mitandao. Tovuti hiyo ni www.wezeshwa.co.tz.
Meneja wa bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza rasmi kutoa fomu za ushiriki wa msimu wa pili wa programu ya kuwawezesha wajasiriamali ifahamikayo kama “Safari Lager Wezeshwa”, iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni inayoratibu mchakato mzima wa Safari Wezeshwa,Joseph Migunda akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa sifa na vigezo vya ushiriki wa msimu wa pili wa programu ya kuwawezesha wajasiriamali ya “Safari Lager Wezeshwa”,ambavyo alivitaja kuwa ni (1). Wawe wachapakazi hodari (2). Wawe Wanamiliki biashara binafsi ambazo ni halali (3). wawe na umri kati ya miaka 18 hadi 40 na (4). wawe na nia ya kukuza biashara zao ili ziweze kuwasaidia wao na jamii inayowazunguka.shughuli hii ilimefanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.

No comments :

Post a Comment