Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 24, 2012

SNURA MUSHI AYANADI MAKALIO YAKE




MSANII anayefanya vizuri kwenye filamu na muziki Snura Mushi ‘Snura’, amekiri wazi kuwa makalio yake yanaongezeka siku baada ya siku na hii inatokana na mavazi anayovaa, huku nguo nyingine zikimpa wakati mgumu hata anapotembea kutokana na kumbana sana.teutokana na makalio yake kubandilika siku baada ya siku na kuongezeka kwa kiasi kikubwa, huku baadhi ya nguo alizokuwa anavaa  zikimbana na nyingine  hawezi kuzivaa  tena.

Alisema kuwa inawezekana kukua kwa makalio yake kunatokana na kuridhika kwani sasa hana mawazo kama aliyokuwa nayo miaka kadhaa nyuma.

Aliongeza kuwa hajawahi kutumia dawa za aina yoyote za kukuza makalio na kuhusu makalio yake kuongeza anaamini ni umbo lake hivyo anahisi baadhi ya watu wenye mawazo mafupi wataanza kuhisi anatumia dawa hizo hatari na hataki watu wamfikilie vibaya, wala kuhisi anatumia.

“Utashangaa kuona picha nyingi nazopiga sasa zinaonesha makalio yangu yamekuwa sana nashindwa kuelewa ni kwa nini ila naamini maisha yangu ya sasa hayana mawazo kama ya miaka kadhaa iliyopita .

Nafurahi sana kuwa na makalio yenye afya ” aliongeza.

No comments :

Post a Comment