Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 31, 2012

MTU MMOJA AJERUHIWA MADARASA SITA YAEZULIWA NA UPEPO.



Madarasa ya shule ya sekondari mnacho yaliyoezuliwa na upepo mkali uliovuma jana kwenye baadhi ya Vijiji Wilayani Ruangwa na kusababisha watu kadhaa kukosa mahala pa kuishi na kusababisha watu wengine kujeruhiwa pamoja na madarasa hayo sita kuezuliwa mapaa.
Bati zilizoezuliwa na upope huo mkali ulioacha athari kubwa.
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa Reubern Mfune Akitoa taarifa ya maafa hayo ya jana katika kikao cha  Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Ruangwa  kwenye kikao kilichofanyika leo. Picha na Ahmed Abdullazizi-Lindi.

No comments :

Post a Comment