Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 22, 2012

TTCL YATOA MSAADA KATIKA VITUO VYA YATIMA



Add caption

.
 Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya TTCL, Charles Nkombelwe, akimkabidhi msaada wa vyakula mtoto Imani Seleman wa kituo cha Yatima Group cha Chamazi.
 Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya TTCL, Charles Nkombelwe akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula mtoto, Khitami Abbasi wa kituo cha Dar Al Alkam cha Tandika. Katikati ni Abdallah Mohamed. Jumla ya vikuti 3 vilikabidhiwa msaada wa vitu mbalimbali na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za sikukuu ya krismasi na mwaka mpya.
 Wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa vituo vilivyopata misaada leo kwa ajili ya sikukuu za mwishoni mwa mwaka.
Sehemu ya msaada wa vitu vilitolewa leo na TTCL kwa vituo vya watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

No comments :

Post a Comment