Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 22, 2012

OMMY DIMPOZ ATOKA NA 'KOIKOI'




Na Elizabeth John

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Faraji ‘Ommy Dimpoz’ ameachia kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Koikoi’.
Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, Ommy amesema anaamini wimbo huo utapokelewa vizuri na mashabiki wake kutokana na mashairi ya wimbo huo ni ya kuburudisha jamii inayomzunguka.
“Namshukuru mungu kazi zangu zote zinapokelewa vizuri na mashabiki wangu, hivyo nimejipanga kutoa burudani iliyokwenda shule kwa kutumia kipaji changu ikiwa ni njia moja wapo ya kujivutia mashabiki wa kutosha,” amesema Ommy Dimpoz.
Amesema anawaomba mashabiki na wapenzi wa kazi zake wakae mkao wa kula kwaajili ya kuipokea video ya kazi hiyo ambayo anatarajia kwenda kuitengeneza nje ya nchi.
Ommy Dimpoz kwasasa anatamba na nyimbo zake kama, Nai nai na Baadae ambazo zilimtambulisha na zinaendelea kufanya vizuri katika tasnia ya muziki wa bongo fleva.

No comments :

Post a Comment