Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 29, 2012

AMOSI MAKALLA AKUTANA NA WASANII


Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla kushoto akizungumza na wasanii mbalimbali Dar es salaam jana juu ya ulasimishwaji wa kazi za sanaa ifikapo mapema mawkani Picha na www.burudan.blogspot.com



Baazi ya washiriki wa mkutano huo kutoka kulia ni Hadija Khalili wakifatilia matukio mbalimbali

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla kushoto akizungumza na wasanii mbalimbali Dar es salaam jana juu ya ulasimishwaji wa kazi za sanaa ifikapo mapema mawkani Picha na www.burudan.blogspot.com
Msanii wa mziki wa Injili akizungumza kwa uchungu mbele ya Naibu waziri jana

Msanii wa Filamu Jacob Stevin JB akizungumza wakati wa mkutano huo Picha na www.burudan.blogspot.com
Mmoja wa wasinii akitoa dukuduku lake mbele ya Waziri

Wasanii wakitoa dukuduku kwa Naibu Waziri

Mkurugenzi wa THT Ruge Mutahaba akizungumza wakati wa mkutano huo jana picha na www.burudan.blogspot.com
Mzee ubao akitoa Dukuduku lake

Msanii Chemundugwao akichangia hoja kulia ni mkurugenzi wa Radio Times Rehule Nyaulawa

Baazi ya wasanii wa Injili wakifatilia mkutano huo

No comments :

Post a Comment